DC Muro unatakiwa sasa ukamuombe msamaha Mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi Dr Mahera

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
491
763
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
 
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.

Mahera ni mpole sana, mstaarabu na muda wote anakuwa ameonyesha tabasamu usoni. Ni mwalimu by profession na amesomea mahesabu digrii ya kwanza na ya pili, nadhani hata ya tatu (PhD) alisomea mahesabu pia. Kichwa chake kimetulia sana na ninatamani kingekuwa changu
 
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.

Halafu unajua hii dunia ikoje, yaani unatakiwa uwaheshimu watu (kwa dhati na si kwa unafiki) kuanzia kinda linalonyonya ziwa la mama hadi mzee anayetembelea mkongojo au asiyeweza kabisa kutembea. Tusiheshimiane sana kwa kufuata mamlaka, mamlaka yalete heshima by the way, ila primary, heshima ya mtu itokane na utu wake na si vinginevyo, na hiyo ndiyo Falsafa alituachia Mwalimu Nyerere
 
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
 
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.

Sasa hapo atakuwa ameenda kumuomba msamaha huyo Mahera au atakuwa kaenda kuomba msamaha cheo chake? Mbona mnataka kujenga tabia ya kusujudia wenye vyeo? Yaani kisa umeona mtu ana cheo ndio uanze kujibebisha?
 
Vyeo vyenyewe vya kuteuliwa, mtu anavimba mpaka sehem za puani.
Haya sasa kama anampango wa kugombea ubunge akaombe radhi.
Wengi ya vijana waliopewa vyeo ndiyo wako hivyo. Hawajui kuwa cheo ni dhamana. Leo unaweza kumdhalilisha mtu na kesho akawa ndiyo rais wako. Kulikuwa na umuhimu gani wa kumfokea mbele ya watu na kumnyooshea kidole namna ile? Kama mtu ana kosa kuna namna za ku deal naye.
 


Aisee....

Sikuwahi kuiona hii kitu!!

Kumbe jamaa (DC Muro) alitumia lugha ya namna hii dhidi ya huyu Mzee sababu ikiwa ni kuchelewa tu?

Na kwani kutokuwepo au kuchelewa kwa DED kufika mambo/ratiba ya shughuli isingeendelea?

Binadamu sijui tukoje tu. Tukopata kidogo, tunataka tutukuzwe na tuabudiwe kabisa kama vile tumekuwa vimungu fulani hivi..!!

Hakika, this is too much......
 
Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Sioni lojiki. Ina maana kama kuna wakati huko nyuma tuseme Raisi Magufuli aliniboa akiwa mwalimu wa sekondari na labda nilikuwa headmaster wake au hata nilikuwa mwenyekiti wa mtaa anaoishi nikampa vidonge vyake leo niende nikamuombe msamaha kwa kuwa sasa amekuwa raisi?

Siwesi baba yangu, wai, hata usemeje. Wakitaka wanibambikie kesi ya uhujumu uchumi!
 
Mimi ningemjibu kwahiyo we Jen muro ulikuwa unasemaje Sasa? Mana nishakwambia tulipata hitirafu hutaki.kama bwai iwe bwai tu.
 
Kwakweli alimdhalilisha sana si vyema kumfanyia mtu mzima kama vile ila kwakua alikua anataka sifa aliona sawa tu..Kama ana ndoto za kugombea ubunge basi aombe sana tena sana Dr Mahera asimuwekee kinyongo ila kwa mfano Dr Mahera angekuwa ni mimi na Muro angegombea Ubunge sehemu aisee hili suala ningelisimamia mwenyewe ningekuwa radhi hata jimbo nimpe mpinzani ili roho yangu itulie...
NB: Nina roho mbaya sana katika kulipiza kisasi halafu nakuwaga na kinyongo ukinifanyia ndivyo sivyo ntalipiza kisasi hata kama miaka 20 ijayo
 
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.

Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.

Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .

Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Hahahaaaa.........hahahaaaa........ hahahaaaa...... Na Jerry anautaka ubunge wa Mbowe patamu hapo!
 
Back
Top Bottom