DC Muro na Mbunge Nasary hapatoshi Msibani

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasary na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro walijikuta wakigeuz msiba wa Mkurugenzi wa Aicc Elishilia Kaaya aliyefiwa na baba yake mzazi kuwa uwanja wa mapambano na mifasho ya kisiasa.

Wakati Nasary akiwaomba radhi wananchi wake wa jimbo hilo kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu akisaka wafadhili wa maendeleo ,Muro alisema serikali haisubiri wafadhili katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Nasary pamoja na Mambo mengine alitaka wananchi hao wamsamehe kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu kwa kuwa alikuwa akisaka wafadhili wa maendeleo nchini Marekani.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro alitumia wasaa huo kumjibu Mbunge huyo kwa kumweleza kuwa wakati hayupo jimboni kwake shughuli za maendeleo zimetekelezwa kwa kiwango kikubwa kwani serikali imetoa kiasi cha sh,bilion 1 kwa ajili ya maendeleo ya Afya pamoja na kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya Huduma zingine wilayani humo.

Muro alimwambia Nasari kuwa hawawezi kusubili wafadhili bali serikali inatekeleza kwa vitendo.

Msiba huo ulihudhuliwa na mkuu wa Majeshi Wa kwanza mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo wakati wa Mazishi ya Mzee Daniel Saitore Kaaya(93) huko kijiji cha Nguruma Arumeru leo jioni ambao walijikuta wakibaki vinywa wazi wakati mipasho ya vigogo hao ikitamalaki.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Nasari na Muro tupo msiba tunamwaga Sera
IMG-20190312-WA0014.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasary na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro walijikuta wakigeuz msiba wa Mkurugenzi wa Aicc Elishilia Kaaya aliyefiwa na baba yake mzazi kuwa uwanja wa mapambano na mifasho ya kisiasa.

Wakati Nasary akiwaomba radhi wananchi wake wa jimbo hilo kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu akisaka wafadhili wa maendeleo ,Muro alisema serikali haisubiri wafadhili katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Nasary pamoja na Mambo mengine alitaka wananchi hao wamsamehe kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu kwa kuwa alikuwa akisaka wafadhili wa maendeleo nchini Marekani.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro alitumia wasaa huo kumjibu Mbunge huyo kwa kumweleza kuwa wakati hayupo jimboni kwake shughuli za maendeleo zimetekelezwa kwa kiwango kikubwa kwani serikali imetoa kiasi cha sh,bilion 1 kwa ajili ya maendeleo ya Afya pamoja na kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya Huduma zingine wilayani humo.

Muro alimwambia Nasari kuwa hawawezi kusubili wafadhili bali serikali inatekeleza kwa vitendo.

Msiba huo ulihudhuliwa na mkuu wa Majeshi Wa kwanza mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo wakati wa Mazishi ya Mzee Daniel Saitore Kaaya(93) huko kijiji cha Nguruma Arumeru leo jioni ambao walijikuta wakibaki vinywa wazi wakati mipasho ya vigogo hao ikitamalaki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya type Msiba na Siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani cha ajabu ni nini kwa serikali kutumia kodi zetu kupeleka maendeleo kwa wananchi? Hiyo ni haki yetu na wajibu kwa serikali.
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasary na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro walijikuta wakigeuz msiba wa Mkurugenzi wa Aicc Elishilia Kaaya aliyefiwa na baba yake mzazi kuwa uwanja wa mapambano na mifasho ya kisiasa.

Wakati Nasary akiwaomba radhi wananchi wake wa jimbo hilo kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu akisaka wafadhili wa maendeleo ,Muro alisema serikali haisubiri wafadhili katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Nasary pamoja na Mambo mengine alitaka wananchi hao wamsamehe kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu kwa kuwa alikuwa akisaka wafadhili wa maendeleo nchini Marekani.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro alitumia wasaa huo kumjibu Mbunge huyo kwa kumweleza kuwa wakati hayupo jimboni kwake shughuli za maendeleo zimetekelezwa kwa kiwango kikubwa kwani serikali imetoa kiasi cha sh,bilion 1 kwa ajili ya maendeleo ya Afya pamoja na kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya Huduma zingine wilayani humo.

Muro alimwambia Nasari kuwa hawawezi kusubili wafadhili bali serikali inatekeleza kwa vitendo.

Msiba huo ulihudhuliwa na mkuu wa Majeshi Wa kwanza mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo wakati wa Mazishi ya Mzee Daniel Saitore Kaaya(93) huko kijiji cha Nguruma Arumeru leo jioni ambao walijikuta wakibaki vinywa wazi wakati mipasho ya vigogo hao ikitamalaki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni Msibani Meru (Umeruni) anaongea na Wameru siyo HAI Machame.
 
Gambo naye aliongea nini? Nataka nijue kama na yeye aliingia kwenye upuuzi wa hawa waheshimiwa
Mpuuzi ni mmoja tu hapo, wakati mwingine anaongea na wananchi na kuwaomba msamaha yeye analeta sera za kipuuzi! hawa ni watu ambao hawajalelewa vizuri
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasary na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro walijikuta wakigeuz msiba wa Mkurugenzi wa Aicc Elishilia Kaaya aliyefiwa na baba yake mzazi kuwa uwanja wa mapambano na mifasho ya kisiasa.

Wakati Nasary akiwaomba radhi wananchi wake wa jimbo hilo kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu akisaka wafadhili wa maendeleo ,Muro alisema serikali haisubiri wafadhili katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Nasary pamoja na Mambo mengine alitaka wananchi hao wamsamehe kwa kutoonekana jimboni kwake kwa muda mrefu kwa kuwa alikuwa akisaka wafadhili wa maendeleo nchini Marekani.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro alitumia wasaa huo kumjibu Mbunge huyo kwa kumweleza kuwa wakati hayupo jimboni kwake shughuli za maendeleo zimetekelezwa kwa kiwango kikubwa kwani serikali imetoa kiasi cha sh,bilion 1 kwa ajili ya maendeleo ya Afya pamoja na kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya Huduma zingine wilayani humo.

Muro alimwambia Nasari kuwa hawawezi kusubili wafadhili bali serikali inatekeleza kwa vitendo.

Msiba huo ulihudhuliwa na mkuu wa Majeshi Wa kwanza mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo wakati wa Mazishi ya Mzee Daniel Saitore Kaaya(93) huko kijiji cha Nguruma Arumeru leo jioni ambao walijikuta wakibaki vinywa wazi wakati mipasho ya vigogo hao ikitamalaki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ilizotumia serikali ni za wananchi hao na ni wajibu wa serikali kuzirejesha kwa wananchi hivyo si hisani wala haihitaji tambo, mbunge anatafuta misaada binafsi na haitokani na kodi za wananchi hilo ni jambo jema.
 
Kenya type Msiba na Siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Lakini hii tabia chafu imeingia hapa Tanzania kuanzia wakati wa Kikwete na kuendelea. Miaka ya nyuma haya mambo tulikuwa tunayasikia kwa ndugu zetu wa Kenya. Misibani na Makanisani Kenya ilikuwa ni sehemu ya wanasiasa kupewa kipaumbele na kuongea ujinga wao. Lakini naona na Tanzania imeingia tena kwa kasi ya ajabu.
 
Back
Top Bottom