GE2025 DC Msando: Msisubiri hadi Oktoba 29, tokeni leo

GE2025 DC Msando: Msisubiri hadi Oktoba 29, tokeni leo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Wakili Albert Msando, amewataka wafanyabiashara wilayni humo na Watanzania kwa ujumla kuondoa hofu kuhusu taarifa za kuwepo maandamano Oktoba 29, akisisitiza kuwa siku hiyo kutakuwa na amani na shughuli zitaendelea kama kawaida.

Akizungumza Oktoba 19, 2025 katika mjadala wa Wana Vicoba wa Jimbo la Ubungo uliofanyika Landmark Hotel jijini Dar es Salaam, Msando amesema Serikali imejipanga kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao unadhibitiwa kikamilifu.

Msando amesema hakuna Mtanzania atakayeandamana kwa sababu wanaotoa vitisho mitandaoni ni mtu mmoja anayemiliki kurasa nyingi kwa majina tofauti na hata hayupo nchini, na lengo lake ni kuwakatisha tamaa wananchi wasipige kura.

Ameongeza kuwa vitisho vinavyosambazwa mitandaoni ni mbinu za kizamani zinazotumiwa na watu wanaolenga kuvuruga amani ya nchi.

Msando amehoji kuwa wanaodai wataandamana Oktoba 29 mbona wanandika ujumbe wao usiku kwenye kuta badala ya mchana, akisisitiza kuwa anataka kumwona anayesema atatoka siku hiyo, huku akibainisha kuwa hakuna hata nywele ya Mtanzania itakayoguswa.

Ametumia nafasi hiyo kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji bila woga na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu ujao.

 
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Wakili Albert Msando, amewataka wafanyabiashara wilayni humo na Watanzania kwa ujumla kuondoa hofu kuhusu taarifa za kuwepo maandamano Oktoba 29, akisisitiza kuwa siku hiyo kutakuwa na amani na shughuli zitaendelea kama kawaida.

Akizungumza Oktoba 19, 2025 katika mjadala wa Wana Vicoba wa Jimbo la Ubungo uliofanyika Landmark Hotel jijini Dar es Salaam, Msando amesema Serikali imejipanga kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao unadhibitiwa kikamilifu.

Msando amesema hakuna Mtanzania atakayeandamana kwa sababu wanaotoa vitisho mitandaoni ni mtu mmoja anayemiliki kurasa nyingi kwa majina tofauti na hata hayupo nchini, na lengo lake ni kuwakatisha tamaa wananchi wasipige kura.

Ameongeza kuwa vitisho vinavyosambazwa mitandaoni ni mbinu za kizamani zinazotumiwa na watu wanaolenga kuvuruga amani ya nchi.

Msando amehoji kuwa wanaodai wataandamana Oktoba 29 mbona wanandika ujumbe wao usiku kwenye kuta badala ya mchana, akisisitiza kuwa anataka kumwona anayesema atatoka siku hiyo, huku akibainisha kuwa hakuna hata nywele ya Mtanzania itakayoguswa.

Ametumia nafasi hiyo kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji bila woga na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu ujao.

1760837309714.jpg
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom