Dc-misenyi achanganyikiwa baada ya chadema kushinda

Dc-misenyi achanganyikiwa baada ya chadema kushinda

Mr.kibulala

Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
58
Reaction score
20
Mkuu wa wilaya ya misenyi,Kanali mstaafu Isa Njiku,amechanganyikiwa baada ya kuitisha mkutano na wananchi wa kata Kyaka na kuwachimba ni kwanini waliichagua Chadema ktk kijiji cha bulfani mwezi uliopita,na kuwaeleza kuwa wamefanya kosa kubwa kutoichagua CCM,baada ya maelezo hyo wananchi walianza kumzomea.ndipo akampatia nafac ya kuzungumza Mh.mbunge(asumpta) bla kujua akaanza kumwaga sera CCM wananchi wakaanza naye kumzomea.inshort CCM HAWANA LAO MISENYI.M4C.
 
Habari njema sana hii.
Hongereni wana wa Misenyi kwa kutambua haki zenu zinkopatikana.
Ukombozi wa Tanzania unahitaji nguvu ya umma wa watanzania.
Misenyi mmeonyesha, huu ni ujumbe kwa wananchi wa mikoa ya pwani
 
Hiyo ndio aina ya viongozi wanaokula kodi za wananchi kwa silly political ends. DC na ukada wa ccm wapi na wapi?

Luckily, nguvu ya umma will take good care of it, it's a minor trouble!
 
Huyo DC atakuwa ana ndoto kama za bosi wake Nape ya kwamba "ccm ni imara na itatawala milele"
 
peoples power inavunja vunja ccm! Ni raha tupu wadau kuishi nyakati hizi ambazo tunajionea live bila chenga gamba likivuka kwa kasi ya ajabu
 
Mh Assumpta angekuwa na akili angejikita kulipa mkopo wake haraka maana ubunge 2015 haupati tena!
 
Kwani nyie hamjui kuwa DC ni kada wa CCM? Wakuu wa Mikoa na Wilaya qualification ya kwanza ni kuwa Kada wa CCM na ndiyo priority ya kwanza katika kazi zao ni kuitetea Chama. Hivyo msishangae.
 
Hawa ma-DC wakisimamia zoezi la mchakato wa kusikiliza maoni ya kuandikwa katiba mpya hawatatenda haki! Hawa nao ni magamba ya majambazi!
 
Hapo ndiyo naona umuhimu wa dc upande wa ccm
 
Mkuu wa wilaya ya misenyi,Kanali mstaafu Isa Njiku,amechanganyikiwa baada ya kuitisha mkutano na wananchi wa kata Kyaka na kuwachimba ni kwanini waliichagua Chadema ktk kijiji cha bulfani mwezi uliopita,na kuwaeleza kuwa wamefanya kosa kubwa kutoichagua CCM,baada ya maelezo hyo wananchi walianza kumzomea.ndipo akampatia nafac ya kuzungumza Mh.mbunge(asumpta) bla kujua akaanza kumwaga sera CCM wananchi wakaanza naye kumzomea.inshort CCM HAWANA LAO MISENYI.M4C.

Hivi vyeo mkuu Wa mkoa/mkuu wa Wilaya ni vyeo vya kupeana kishikaji na kila siku tunavipigia kelele kuwa vinawepo kwa ajili ya ccm.Cheo cha mkuu Wa wilaya/mkuu Wa mkoa anapaswa anaechaguliwa awatumikie wananchi,badala yake anatamka wazi wazi kuwa wananchi walikosea kuichagua Chadema!!?Muwe mnawarekodi hawa watu ili tuionyeshe jamii namna ambavyo vyeo hivi vinatumika ndivyo sivyo-tofauti na utaratibu Wa kawaida
 
Kwani nyie hamjui kuwa DC ni kada wa CCM? Wakuu wa Mikoa na Wilaya qualification ya kwanza ni kuwa Kada wa CCM na ndiyo priority ya kwanza katika kazi zao ni kuitetea Chama. Hivyo msishangae.

Asante mkuu hata Millya alishalisema hili ktk viwanja vya Nmc wakati anavua gamba na kuvalishwa kombati.Hata Nape ukuu wake Wa Wilaya ndio mule mule
 
Wakati unawatupa mkuna bado wanang`ang`ania saa za vimwetumwetu wakati dunia ipo kwenye digital!Wanahitaji Maombi
 
CHADEMA tunawanyima usingizi,na bado mbona hii ni introduction tu!
 
Kwa kawaida madc ni wenyeviti wa kamati zote za siasa za ccm wilaya,kw hyo dc ni lazima awe mwana ccm,ni hli ni jambo la hatari kwani aweze kuwa fair.
 
Kwa kawaida madc ni wenyeviti wa kamati zote za siasa za ccm wilaya,kw hyo dc ni lazima awe mwana ccm,ni hli ni jambo la hatari kwani awezi kuwa fair.
 
CCM haiwezi kutawala milele!! Huu ni wakati wa kifo cha CCM, tunaongozwa na chama kinachokufa!! Mengi ya ajabu tutayasikia kutoka kwa viongozi wanazi wa CCM!
 
Back
Top Bottom