Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Napenda kumpa ushari wa bure kabisa ndugu DC mpya Jerry Muro.
Baba Chonde chonde usijeingia hamsini za wajuaji, uongozi si ugomvi.
Twasikia mara kidole cha macho kwa mssidizi, mara unakifua kipana cha serikali, mara makofi kwa kondakta!
Kama kuna somo unaloweza kujifunza, ujue kuna Mwamwindi katika jamii.
Ukiingia hamsini zake hata Awamu ya tano haitakusaidia.
Baba Chonde chonde usijeingia hamsini za wajuaji, uongozi si ugomvi.
Twasikia mara kidole cha macho kwa mssidizi, mara unakifua kipana cha serikali, mara makofi kwa kondakta!
Kama kuna somo unaloweza kujifunza, ujue kuna Mwamwindi katika jamii.
Ukiingia hamsini zake hata Awamu ya tano haitakusaidia.