Habari tulizo zipata kutoka kwa familia ya mzee joseph kimario(mume wa bi kimario) ambaye ni dc wa igunga mkoani tabora zimeeleza kwamba mkuu wa wilaya amebatizwa ktk kanisa katoriki mbezi beach.
Na mume wake mr joseph kimario ni mwenyekiti wa uongozi wa parokia mbezi beach. Hivyo tunawaomba bakwata wasitumie vibaya vyombo vya habari kueneza udini tanzania.
4 more information vist PAROKIA YA BIKIRA MARIA MBEZI BEACH.
Na mume wake mr joseph kimario ni mwenyekiti wa uongozi wa parokia mbezi beach. Hivyo tunawaomba bakwata wasitumie vibaya vyombo vya habari kueneza udini tanzania.
4 more information vist PAROKIA YA BIKIRA MARIA MBEZI BEACH.
Katika gazeti la Mwanahalisi toleo la juma kuanzia tarehe 28.9.2011, Saed Kubenea amefichua kuwa Fatuma Kimario anayetumiwa na CCM kwa kupata kura kwa udini huko Igunga siyo Muislam.
Kubenea amefichua kuwa Fatuma amefunga ndoa na mkirsto na wanawatoto wawili wakristo mmoja wao ni Vivian na mmoja wao anafunga ndoa ya kikristo mwezi wa kumi mwaka huu.
Habari zaidi mwanahalisi la leo.