Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,609
- 42,960
Umesema?huyu DC anapaswa kurejeshwa kazini mara moja haya ndo majembe tunayataka.
Umesema?huyu DC anapaswa kurejeshwa kazini mara moja haya ndo majembe tunayataka.
Tungepata rais dizain ya huyu mkuu wa wilaya, pengine mambo yangekuwa tofauti. Kusingekuwa na deals za kifisadi huko serikali kwa vile ukigundulika ni habari nyingine kubwa (kama mwalimu anapewa adhabu ya viboko, nadhani fisadis kama BWM, EL, RA, AC hawa wangepata adhabu ya kifo).
Haya ndugu viongozi, mfano wa kuigwa huo katika kuwawajibisha watumishi legelege.