Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Mkuu wa wilaya ya Kindoni, Leo ametuma vikosi vya polisi wakiwemo askari wa kuzuia ghasia kwenda kutekeleza amri uthamini wa viwanja vya wananchi. Misafara ya Askari hao imeonekana ikipita katika barabara ya Morogoro kuelekea Kwembe ambapo kuna mvutano kati ya wananchi na serikali
.....ndiyohiyo
.....ndiyohiyo