Sumaye amewaambia kuwa ni DOLA ikukubali ndipo utakuwa Rais wa Nchi hii. Dr Slaa hakubaliki kwenye DOLA yetu. Wakuu wa sasa wa vyombo vya DOLA ni WACHAFU mno.Angekuwa nao angechakachua kura za Dr. Slaa? Lakini ata kama anao, ni wanamna gani, ni kama wewe na wengineo wanafaidika na ufisadi?