Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,148
Hakuna daktari hapo huyo ni clinical officer,wa kufukuzwa haraka sana
kabombe upeo wako ni mdogo sana. Linapokuja suala la kazi katika hospitali hizo tofauti za kada kwa madaktari huwezi kuliona, infact mgonjwa anajua wote ni madaktari.
Haijarishi ni Co, AMO, MD, MMED lakini wote wana haki na wajibu sawa katika kumhudumia mgonjwa.
Last edited by a moderator: