Day dreaming!!

We kukuruka tu lakini mwishowe ni kukwaa ngoma. Na ndoa utaiskia kwa wenzio
 
We kukuruka tu lakini mwishowe ni kukwaa ngoma. Na ndoa utaiskia kwa wenzio

endelea na fikra mgando ww,umekariri kukukuruka ni sex tu:smile-big::smile-big::smile-big:nakukuruka na maisha utasubiri sana hutonisikia nalilia ngoma kupitia sex labda ngoma kwa njia nyingine.
 
mhm unataka kuolewa...umri umefika tafuta mume kama vipi njoo kwangu ila mie nataka mwanamke asie taka kuzaa

si umuoe halafu ili asizae anatoa kizazi inakuwa kugegedana tu kwenda mbele maana hata sikuzake atakuwa hapati
 
Una kichaa ujue wewe. Kwanini hutaki watoto?

utafiti unaonyesha wanaume wengi wanakuwa wanagegeda nje mke akishazaa na mie sitaki kabisa kugegeda nje nikishaoa

pili nataka nono ya mke wangu to myself bana mtoto nae aenjoy nono ya my wife bana.

tatu sitaki mtoto awe na passport ya africa that mean nioe mzungu ila sasa mie sijui nitamjibu nini mtoto akiniuliza baba mbona wee mweusi mama mweupe......so bora tuwe wawili tuu tugegedanane kwa raha zetu
 
Jibu ni simple tu umri umekwenda na umeshafikia ile stress time ya mwanamke kuolewa..labda ulidengua sana kipind cha nyuma ss hv ndo unastuka..it might or might not be ila inshort age imeenda na kwa vile wewe n ubavu wa mwanaume ndo unataka urudi sehem yenyewe sasa..im done yoooo!!!!
 
Age nzuri iyo ya kuolewa ila dada angu tulia upate rizki yako kama huna masomaji. Ukitulia na kujitunza rizki yako ipo
 
Ila maisha ya sasa dada angu ukiingia kwenye ndoa bila malengo ya life yako ya kujitegemea mtihaani yaani wanaume wa leo sio wa zamani. Tia mkono gizani mwaya good luck
 
biological clock imanza kugonga, ila ukishaizoea utaona kawaida tu. Sasa angalia usije tumika sana kisa unataka kuanzisha familia, wanaokuwa desperate huishia kuwa kama karanga za kuonja kutafuta mnunuzi, watu wanaonja na kununua hawanunui.:nono::nono:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…