CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
Me bado sijaridhika hawa ni makoplo,na sajenti vp wale 70 wakati ni walewale kasoro majina?haki ilikuwa wap pale?
Mgonjwa utakuwa unahusika na kashfa ili hali aliyekuweka anaendelea kukupa imani na kukupatia taarifa za ndani kabisa hlf unadanganya umma nawe ni mtoto wa mkulima uliechaguliwa kwa nguvu za mungu, kumbe ni kwa nguvu za anayekupa taarifa za ndani ya idara, ila mng'ang'anie ahakikishe anakurudisha tena kwani kama anaweza kukupa siri za idara hatashindwa kukurudisha tena hongera ndugu.
Kutoka chanzo cha karibu cha idara hiyo baada ya mvutano na sintofahamu ya nani awajibike juu ya ajira kuwepo kwa upendeleo wa ajira za koplo na konstebo NAFASI HIZO WAMEAMUA KUZITANGAZA UPYA !! TUSUBIRI MOVIE INAENDELEE LEO NI SIKU YA PILI TANGU TUME IANZE KAZI YAKE !!! IWE MUNGU BABA SAIDIA
Mpaka kamati ya uchunguzi ilete majibu wengine watakuwa wamepungua uzito..Mgonjwa me nna maswali machache tu kwako..1.umesema mpaka sasa kutokana na tetesi za nani awajibike haijulikani ina mana tayari tuhuma ni kweli kuwa kulikuwa na upendeleo uliofanyika kwa ndugu wa watumishi hao..na je kama tuhuma hizo ni za kweli upendeleo huo ulikuwa kwenye nyanja gani..elimu,dini au muungano.2.je kama imebainika kulikuwa na upendeleo kwan haijulikani wasailiwa walikuwa kwenye kamati namba ngapi na ni akina nani walikuwa members katika kamati hizo na ni kwanini waliwapa nafas watu hao huku wakijua kuwa hawana sifa..3.na je ikiwa kama wata tangaza upya vipi kuhusu wale ambao walipita kihalali na walikuwa na sifa zote huoni watakuwa hawakutendewa haki mana itabidi waanze upya ikiwa ni pamoja na kutumia resources kama vile pesa..Last:..kusema haijulikani nani awajibishwe wakati uzembe upo wazi si sahihi.me nadhani watoe wote ambao uchunguzi unaonekana walipendelewa then nafasi hizo zitangazwe tena then wale waliopita kihalali wapewe nafasi zao..na iainishwe ni watu wangapi wanahitajika
mh ngja tuone hii pcha ya kihindi itapoishiaKutoka chanzo cha karibu cha idara hiyo baada ya mvutano na sintofahamu ya nani awajibike juu ya ajira kuwepo kwa upendeleo wa ajira za koplo na konstebo NAFASI HIZO WAMEAMUA KUZITANGAZA UPYA !! TUSUBIRI MOVIE INAENDELEE LEO NI SIKU YA PILI TANGU TUME IANZE KAZI YAKE !!! IWE MUNGU BABA SAIDIA
Mpaka tume ije ilete majibu si ajabu miaka itakua imeishapita