Dawati la msaada kwa Samsung Galaxy S & Note

Dawati la msaada kwa Samsung Galaxy S & Note

Mkuu nina kizee S2,nilimpamshikaji anifanyie rooting i mefail na matokeo ni kwamba IMEI imebadilika kutoka 35xxxxxx ...kuja 00400xxxxxx...(sort og generic IMEI)simu inafanya kazi japo sometimes inaniletea notification kama "network notregistered".
Hapo hulazimika ku search upya au ku reboot phone yangu.
Je mkuu unaweza nisaidiaje kuirepair hii IMEI?
 
nahitaji kununua simu moja wapo Kati ya galaxy s4 au galaxy note 2, naomba ushauri ipi ni bora zaidi Kati ya hizo mbili
 
nahitaji kununua simu moja wapo Kati ya galaxy s4 au galaxy note 2, naomba ushauri ipi ni bora zaidi Kati ya hizo mbili

Nunua s4 maana ni latest kuliko note ingawa specifications karibia zinafanana
 
Galaxy 4 mini natumia, kila niki play music media player zote nilizonazo nyimbo zina sratch na kutokutoa sauti. Tatizo nn hasa
 
Galaxy 4 mini natumia, kila niki play music media player zote nilizonazo nyimbo zina sratch na kutokutoa sauti. Tatizo nn hasa

Unatumia internal storage au memory card kuhifadhi music?
Kama unatumia sd card nakushauri ununue nyingine, kwa kuwa memory card yako ina tatizo la file corruption.
 
Mkuu nina note1 tatizo nikuwaaa haiwezi kutuma sms kwa sasa. Na nimejaribu ku install different sms application lkn tatzo limebaki palepale.... Japo hapo mwanzo ilikuwa inatuma sms... Ila kwa sasa ukituma sms ina load and mwisho wa siku inakuambia sms sendn fail... Vp tatzo linaeza kuwa nn
 
Mkuu nna s4 lkn ttzo lake haisomi 3g nimejaribu kila njia nimeshindwa naomba unisaidie kaka
 
Nna s4 lkn ttzo lake haisomi 3g nimejaribu kila njia nimeshindwa naomba unisaidie kaka
 
Mkuu nina note1 tatizo nikuwaaa haiwezi kutuma sms kwa sasa. Na nimejaribu ku install different sms application lkn tatzo limebaki palepale.... Japo hapo mwanzo ilikuwa inatuma sms... Ila kwa sasa ukituma sms ina load and mwisho wa siku inakuambia sms sendn fail... Vp tatzo linaeza kuwa nn

SMS center number umeset vipi mkuu?
 
Mkuu nina kizee S2,nilimpamshikaji anifanyie rooting i mefail na matokeo ni kwamba IMEI imebadilika kutoka 35xxxxxx ...kuja 00400xxxxxx...(sort og generic IMEI)simu inafanya kazi japo sometimes inaniletea notification kama "network notregistered".
Hapo hulazimika ku search upya au ku reboot phone yangu.
Je mkuu unaweza nisaidiaje kuirepair hii IMEI?

Nenda kwa fundi anayeaminika eneo ulilopo atakusaidia
 
nahitaji kununua simu moja wapo Kati ya galaxy s4 au galaxy note 2, naomba ushauri ipi ni bora zaidi Kati ya hizo mbili

Galaxy S4 mkuu, Note II design yake ya kizamani kidogo
 
Back
Top Bottom