DAWASCO: Majitaka tunaibiwa

DAWASCO: Majitaka tunaibiwa

kimkakati

Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
39
Reaction score
17
Nawashauri DAWASCO wahakikishe ujazo wa haya magari ya majitaka na wahakikishe yameandikwa kwani huwa wanawadanganya wateja. Yalipie yakaguliwe na kuandikwa ujazo kama malori ya mchanga yanavyofanya.

Tumechoka kuibiwa na tunaomba iwepo bei elekezi kwa ujazo.
 
Back
Top Bottom