Nawashauri DAWASCO wahakikishe ujazo wa haya magari ya majitaka na wahakikishe yameandikwa kwani huwa wanawadanganya wateja. Yalipie yakaguliwe na kuandikwa ujazo kama malori ya mchanga yanavyofanya.
Tumechoka kuibiwa na tunaomba iwepo bei elekezi kwa ujazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.