Dawasco kuna nini mbona maji hayatoki leo siku ya nne huku Mbezi beach na maaneo ya Kawe. Watu tunahangaika sana kutafuta maji lakini chakushangaza hata kwenye vyombo vya habari sijasikia wakizungumzia hili tatizo Dawasco kulikoni?
Mimi kama mkazi wa Dar sijawahi kujua kazi ya hawa wanaitwa DAWASCO nadhani wanakazi nyingine kama kazi yao ingekuwa kuleta maji na wananchi wanalipa bill wangeyaleta laikini unashangaa maji hakuna lakini wao wanatembelea magari mazuri na mishahara mikubwa huku maji hakuna wanatoa wapi pesa kama hawana kazi nyingine? Matapeli kabisa hawa na wahuni heti kampuni ya maji angalia maji taka dar aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.