DAWASA kwanini mvua ni nyingi lakini tunakosa maji?

Andazi

JF-Expert Member
Jul 30, 2022
588
1,039
Bongo kweli nyoso mvua zote hizi siku sijui ya ngapi hatuna maji,

Haya maji mengi kwamba mnavyojenga sehemu za kuvuna maji mliwaza kuwa sio zote ni kiangazi

Kuweni serious wengine basi, bomba sijui limepasuka wekeni backup plan

Miundombinu ya mwaka 1880s huko ndio mnatumie leo

Wenzetu wana bombaless system nyie mmekazana na kulike connection za aslay na mademu wenye makalio insta huku sisi siku ya ngap sijui hatuogi

Poleni kama nimewakwaza
 
Bongo kweli nyoso mvua zote hizi siku sijui ya ngapi hatuna maji,

Haya maji mengi kwamba mnavyojenga sehemu za kuvuna maji mliwaza kuwa sio zote ni kiangazi

Kuweni serious wengine basi, bomba sijui limepasuka wekeni backup plan

Miundombinu ya mwaka 1880s huko ndio mnatumie leo

Wenzetu wana bombaless system nyie mmekazana na kulike connection za aslay na mademu wenye makalio insta huku sisi siku ya ngap sijui hatuogi

Poleni kama nimewakwaza

Maji ya mvua yamejiendea zake baharini na mengine kupotelea ardhini...
 
Kama mvua zinanyesha na wewe unakosa maji, kwanini usikinge maji ya mvua? 🤔
 
Wizara yenye waziri anaejua misemo. Akipewa maiki utasikia skisema wali wa kushibaa.....halafu mama anacheka. Wamempatia mama
Ukiwaangalia baadhi ya mawaziri wa sasa utajua ni jinsi gani uchawa umeharibu na unaendelea kuharibu nchi yetu.

Kama tutaendelea kuwa na viongozi wakuu wanaofurahia uchawa, hatma ya taifa letu ni mbaya sana.
 
Kama mvua zinanyesha na wewe unakosa maji, kwanini usikinge maji ya mvua? 🤔
Oy huu ni mwaka 2024 sio kwamba wote ni majobless mpaka tunapata muda wa kukinga maji ya mvua
 
Hii ni wiki ya tatu sasa hakuna kitu kinaitwa maji, akiba yote tuliyoiweka inakaribia kuisha. Hatukupewa taarifa yoyote kuhusiana na maji kukatika na kuna minyumbu kazi yao ni kusifiaa tu na kulamba miguu, tuko zaidi ya miaka 60 ya uhuru lakini bado tunasumbuliwa na vitu kama hivi na wakati tuna vyanzo vingi vya maji. Umbwaaaaaaaa hizi
 
Back
Top Bottom