Dawa za mitishamba , ni hatari

Unaweza kuwa sawa ila usiwe sawa vilevile uandishi wowote ule ni vyema sana kurudia ulichokiandika utabaini wapi urekebishe, upunguze au uongeze neno (maneno).
All in all Samahani sana kwa kukukera.
Una dalili ya kupenda sifa na kushindana..tabia hizi wanazo hasa wanasheria...!Ukiwa mzoefu wa tabia za JAMII. Itapunguza kutafuta makosa, utaongeza njia nzuri ya kulinda DIPLOMAT ya wengine.
 
Acha kusema kisukari hakina Tiba. Hakuna ugonjwa usiokuwa na tiba Hata ukimwi unao tiba yake kama hujuwi wewe kuwa kisukari hakina tiba ni wewe mwenyewe. Mimi ninatibu kisukari, Kansa,Hepatiti Vidonda vya tumbo Ukimwi na Maradhi yote ya zinaa ukitaka nikutibu nitafute kwa wakati wako. Kisukari Ukimwi Vidonda vya Tumbo kansa Hepatiti b Virus kiharusi hakuna tiba Mahospitalini lakini kwa Waganga wa kienyeji dawa zipo na unatumia dawa na kupona kabisa maradhi yako.
 
Tapeli mkubwa wewe. Kwa nini usiende Ocean Road au Muhimbili uwatibu wagonjwa? Utawapata hao hao wajinga lakini siyo mtu mwenye akili.
 
𝗨𝗽𝗼 𝗼𝗻𝗹𝗶𝗻𝗲 𝗸𝘂𝗺𝗯𝗲
 
Tapeli mkubwa wewe. Kwa nini usiende Ocean Road au Muhimbili uwatibu wagonjwa? Utawapata hao hao wajinga lakini siyo mtu mwenye akili.
Huna hoja ya kusema unatukana wewe mpumbepumbe usiniharibie Saumu yangu Niende Ocean Road nikamtibu nani ? wewe unazungumza maneno ya pumba? Tangu lini Daktari akamfuata mgonjwa? Mgonjwa atamfuata Daktari siwezi kwenda Ocean Road nikafuate kitu gani?
 
naona umeamua kutumia fursa
 
Jitahidi kufanya tiba lishe, kila unachokula ndio kiwe sehemu ya tiba na kinga ya maradhi mengi.

Shida mnafakamia mizizi bila kuuliza, uliza ni mizizi ya nini, tengeneza urafiki hata na bwana GUGO hii itakusaidia, mizizi mingine ni sumu.
 
Jamaa kapewa dawa ya UTI na masai, baada ya saa moja, jamaa aliharisha, mwili kukosa nguvu, kupumua kwa shida, aliponea hosipitali na masai kasepa. Tuwe macho na hizi dawa ambazo hazina kiwango.
 
kila kitu na kiasi chake

KWA HIYO UNADHANI HIZO ZA HOSPITALI NDIO HAZIUI FIGO?
 
Jitahidi kufanya tiba lishe, kila unachokula ndio kiwe sehemu ya tiba na kinga ya maradhi mengi.

Shida mnafakamia mizizi bila kuuliza, uliza ni mizizi ya nini, tengeneza urafiki hata na bwana GUGO hii itakusaidia, mizizi mingine ni sumu.
MUACHE ATAKUJA KUFANYA DAWA NDIO CHAKULA
 
Pole sana Mavitu mungu akutie nguvu
 
Herbalist Dr MziziMkavu

Huyu jamaa kala miziz kaendesha katundikiwa drip hospitali.

Ukiachilia tafiti za online.

Una case study ya mtu aliyetumia panadol ikamuathiri ukamtibu kwa mitishamba?

Au una real life case ya hivyo?
 
Jamani nyie wakubwa wa JamiiCheck hebu pitieni hapa.

Miongozo imevunjwa, lots of flooding.

Uzi una lengo la kupotosha kama sio kukandamiza mitishamba. In all fairness huu utafiti umefanywa wapi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…