Dawa za kushave sehemu za siri

Caritha

Member
Apr 5, 2012
64
13
Naombeni wadau mnihabarishe madhara na faida ya kutumia shaving powder au shaving cream sehemu za siri
 
Naombeni wadau mnihabarishe madhara na faida ya kutumia shaving powder au shaving cream sehemu za siri
Faida yake si ni kusaidia unyoaji!.!? Madhara inategema na make na ngozi yako, inatakiwa utest kabla ya kutumia ili kujua kama una allergy nayo au sivyo
 
Back
Top Bottom