Dawa za Kichina, We Acha tu!

Wapendwa wanaJF, nimeshaweka zile attachment kama nilivyoahidi. Kama hazionekani naomba tuhabarishane tena.
 

Attachments

  • 1fa6e4d.jpg
    1fa6e4d.jpg
    43.5 KB · Views: 130
  • 1fa6e5c.jpg
    1fa6e5c.jpg
    45.5 KB · Views: 123
  • 1fa6e6c.jpg
    1fa6e6c.jpg
    44.7 KB · Views: 111
  • 1fa6e7c.jpg
    1fa6e7c.jpg
    37.1 KB · Views: 108
  • 1fa6e8b.jpg
    1fa6e8b.jpg
    45.4 KB · Views: 118
  • 1fa6e9b.jpg
    1fa6e9b.jpg
    41.2 KB · Views: 125
  • 1fa6eaa.jpg
    1fa6eaa.jpg
    58.5 KB · Views: 114
  • 1fa6eba.jpg
    1fa6eba.jpg
    48.3 KB · Views: 114
What about the side effects? Si tunakuja kuambiwa mara kansa ya matiti, mara kansa ya shingo ya uzazi? Kaazi kweli kweli!
 
yaani huyu binti ukizaa nae unampiga marufuku kunyonyesha mtoto wala kulala karibu na mtoto maana asubuhi unaweza ukakuta kitoto kimeshabadilishwa jina na kuwa marehemu
 
What about the side effects? Si tunakuja kuambiwa mara kansa ya matiti, mara kansa ya shingo ya uzazi? Kaazi kweli kweli!


Achilia mbali side effects, lakini huyu dada ana mateso ya kila siku ya kubeba huo mzigo. Imagine that load in your chest! But she seems to be happy, may be sio hata dawa za kichina ndio alivyoumbwa tu. Pole yake.
 
Du, nadhani anajuta kuyatamani!..Kwa hakika huo ni mzigo mkubwa sana kifuani, na hawezi kukimbia hata hatua kumi huyo!...Tamaa mbele mauti nyuma!
 
hivi ni kweli au ni mambo ya adobe photoshop au graphics and desig????????????!!!!!!!!!!!!
 
Angejaliwa kuwa na mzigo wa nyuma akawa na 8 figure sijui ingekuwaje!
 
Kampeni za wanawake zihamie kwa wanawake wenyewe, ziondoke kwenye Beijing orientation ambayo always ni dhidi ya wanaume!
 
Je, wanaume nao wanachangia kuwafanya akina dada wapende kukuza nyonyo zao?

aaah wapi upuuz wa mtu binafsi.....'love as me i am'!!!! vinginevyo ntakuwa si chaguo lako wacha nisubiri atakayenipenda nilivyo. siwezi kujibadilili maubile (taking into consideration the deadly side effects) ili nimvutie mwanaume/nitamaniwe (bora hata ingekuwa kupendwa)
 
Back
Top Bottom