Dawa yake kwishapatikana

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,375
Nchi hii bana,kumbe haki hamna mpaka MIGOMO?
sasa wajiandae
walimu,askari na wanavyuo wanataka haki zao dawa wameshaijua..
waongoza ndege na meli nao...
Wafanya biashara wa Tandale na kariakoo
Wauguzi nao
Wazabuni wa idara za serikali mashule na vyuo
Wakandarasi nao
Tanesco na DAWASCO nao
Mahabusu nao kugomea kuja mahakamani
Sijui Pinda atatokea tundu gani?
Maumivu ya kichwa huanza polepole..Watch out!
 
Back
Top Bottom