Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Wadau, Naomba tusaidiane katika kujadili hili suala la watoto ambao wamefikisha miaka 10 au zaidi kuendelea kukojoa kitandani, wakiwa wamelala usiku. Je, tataizo ni nini? na matibabu yake ni yapi?