Jana nilifika pale hospital ya muhimbili kitengo cha tiba asili nikanunua hiyo dawa ya vidonda vya tumbo, kwa maelezo ya Dr natakiwa kunywa chupa 15 mpaka 20 , nilinunua chupa 5 za kuanzia
Kwahiyo ndugu zangu kwa wale mnaohangaika na gas, vidonda vya tumbo mnaweza kufika pale muhimbili na kujaribu dawa hii wengi wana sema wanapona na wanakula kila kitu
Mungu atusaidie tuondokane na mateso yao bila kusahau kufata masharti ya ulaji na unywaji asanteni
Kwahiyo ndugu zangu kwa wale mnaohangaika na gas, vidonda vya tumbo mnaweza kufika pale muhimbili na kujaribu dawa hii wengi wana sema wanapona na wanakula kila kitu
Mungu atusaidie tuondokane na mateso yao bila kusahau kufata masharti ya ulaji na unywaji asanteni