DAWA YA UPWEKE NI NDOA

DAWA YA UPWEKE NI NDOA

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,474
Reaction score
11,578
It's comrade, a.k.a The man himself! A.k.a Mfalme wa Nyika, Namba 9 mgongoni mshambuliaji hatari.

Ni kwa Mara nyingne teeena mbele ya upeo wa mboni yako, ninarindima hapa jamviniii


Anaandika KIPEPE....
******-
Aseeee nipo kitandani hapa mida hiii nawaza umri unasonga natamani namimi nipate mke aseee

Mtanda wote huuu sita kwa sita najibilingilisha tuu mithili ya panya aliekunywa sumuuuu, ungekuta midaa hiii nipo na mke halali hapa tunayajenga yetu ya familia..

Duuuuh asee tuoeni vijana tuache uzinzi yani Mimi nikipata wife material naoaaaaa, kama una unaempenda oaneni tuu msisubirie sana halalisheni ndoa na Mungu awabariki sanaaaa


Ohhoooo
Ndiio mwisho hapooo

Fyaaaaa kama Bomu la nyukliaaa yuleeeeeeee
 
Its not like we don't see the married ones mtaani huku ! I choose to remain happy.
 
Huyu Alitalia kufanya kweli akaishia KULIZWA.



It's comrade, a.k.a The man himself! A.k.a Mfalme wa Nyika, Namba 9 mgongoni mshambuliaji hatari.

Ni kwa Mara nyingne teeena mbele ya upeo wa mboni yako, ninarindima hapa jamviniii


Anaandika KIPEPE....
******-
Aseeee nipo kitandani hapa mida hiii nawaza umri unasonga natamani namimi nipate mke aseee

Mtanda wote huuu sita kwa sita najibilingilisha tuu mithili ya panya aliekunywa sumuuuu, ungekuta midaa hiii nipo na mke halali hapa tunayajenga yetu ya familia..

Duuuuh asee tuoeni vijana tuache uzinzi yani Mimi nikipata wife material naoaaaaa, kama una unaempenda oaneni tuu msisubirie sana halalisheni ndoa na Mungu awabariki sanaaaa


Ohhoooo
Ndiio mwisho hapooo

Fyaaaaa kama Bomu la nyukliaaa yuleeeeeeee
 
Huyo aliingia kichwa kichwa
Huyu Alitalia kufanya kweli akaishia KULIZWA.

 
Kuwa makini bwana Mdogo, ndoa sio kujiviringisha kwenye kitanda na kucheza kachiri saga
FB_IMG_15614930132904143.jpeg
 
Back
Top Bottom