Dawa ya ugonjwa wa kisukari

Dawa ya ugonjwa wa kisukari

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
>>>>Upate aina za dawa zifuatazo, kila moja kiasi cha gram 100, saga
>>>>pamoja na dawa zifuatazo:
>>>>1. Shubiri
>>>>
>>>>2. Ubani
>>>>
>>>>3. Mvuje
>>>>
>>>>4. Ukwaju
>>>>
>>>>5. Habasoda
>>>>
>>>>(kiasi cha dawa hizi hazijatwangwa, hivyo jaribu kukadiria
>>>>mwenyewe) baada ya kusaga vizuri, gawanya katika mafungo matatu
>>>>yaliyosawa. Changanya fungu moja na maji kiasi cha chupa mbili na
>>>>uchemshe kwa dakika kumi. Ipua na iwache ipoe, chuja na hifadhi
>>>>katika chupa nadhifu.
>>>>
>>>> MATUMIZI YA DAYA YENYEWE
>>>>
>>>>Tumia kila siku kikombe kimoja cha kahawa kabla ya kula chochote
>>>>asubuhi kwa muda wa siku 13. Ikiisha dawa hii basi chukua fungu
>>>>la pili na uchemshe kama ulivofanya kwa fungu la mwanzo. Tumia
>>>>daya hii tena kwa muda ule ule wa siku 13.
>>>>
>>>>Itakapokwisha dawa hii basi chukua fungu la tatu na uitayarishe
>>>>kamaUlivyofanya mafungu mawili ya mwanzo. Tumia dawa hii kama
>>>>dawa hizo mbili za mwanzo ila tu kwa muda wa siku 14 , hii
>>>>itafanya jumla ya siku za kunywa daya kuwa siku 40.
>>>>
>>>>Baada ya siku hizo 40 utajisikia kuwa ugonjwa wa kisukari
>>>>umekwisha na unaweza kuanza kula vitu vyote ulivyokuwa
>>>>umekatazwa. Inshallah kwa kudra zake mwenyezi mungu utakuwa
>>>>umepona maradhi hayo.
 
>>>>Upate aina za dawa zifuatazo, kila moja kiasi cha gram 100, saga
>>>>pamoja na dawa zifuatazo:
>>>>1. Shubiri
>>>>
>>>>2. Ubani
>>>>
>>>>3. Mvuje
>>>>
>>>>4. Ukwaju
>>>>
>>>>5. Habasoda
>>>>
>>>>(kiasi cha dawa hizi hazijatwangwa, hivyo jaribu kukadiria
>>>>mwenyewe) baada ya kusaga vizuri, gawanya katika mafungo matatu
>>>>yaliyosawa. Changanya fungu moja na maji kiasi cha chupa mbili na
>>>>uchemshe kwa dakika kumi. Ipua na iwache ipoe, chuja na hifadhi
>>>>katika chupa nadhifu.
>>>>
>>>> MATUMIZI YA DAYA YENYEWE
>>>>
>>>>Tumia kila siku kikombe kimoja cha kahawa kabla ya kula chochote
>>>>asubuhi kwa muda wa siku 13. Ikiisha dawa hii basi chukua fungu
>>>>la pili na uchemshe kama ulivofanya kwa fungu la mwanzo. Tumia
>>>>daya hii tena kwa muda ule ule wa siku 13.
>>>>
>>>>Itakapokwisha dawa hii basi chukua fungu la tatu na uitayarishe
>>>>kamaUlivyofanya mafungu mawili ya mwanzo. Tumia dawa hii kama
>>>>dawa hizo mbili za mwanzo ila tu kwa muda wa siku 14 , hii
>>>>itafanya jumla ya siku za kunywa daya kuwa siku 40.
>>>>
>>>>Baada ya siku hizo 40 utajisikia kuwa ugonjwa wa kisukari
>>>>umekwisha na unaweza kuanza kula vitu vyote ulivyokuwa
>>>>umekatazwa. Inshallah kwa kudra zake mwenyezi mungu utakuwa
>>>>umepona maradhi hayo.

Hapo kwenye bold ni vipi?
 
hata mimi kaniacha...halafu mvuje na habasoda ndio nini?....na ubani huwa unaliwa?
Habati Soda kwa kiingereza inaitwa ( Nigella sativa Seed) Mvuje kwa kiingereza inaitwa ( Asafetida ) Nenda kwa maduka ya dawa utapata hizo dawa dawa.
 
kwenye maduka ya dawa ya kizungu au ya kiarabu?
 
Huu mseto una expire baada ya muda gani yaani?Side effects (counter indication)
 
Huu mseto una expire baada ya muda gani yaani?Side effects (counter indication)
Dawa za Kienyeji hazina mambo ya ( Side effects counter indication) na hata kama zitakuwa na side effects itakuwa ni ndogo sana zaidi ya dawa za kizungu. Expire yake ikizidi zaidi ya mwaka mmoja tangu uitengeneze
 
Dawa za Kienyeji hazina mambo ya ( Side effects counter indication) na hata kama zitakuwa na side effects itakuwa ni ndogo sana zaidi ya dawa za kizungu. Expire yake ikizidi zaidi ya mwaka mmoja tangu uitengeneze
Assalamualaikum sheikh, naomba faida kuhusu MVUJE
 
Back
Top Bottom