GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Je ushawahi kupatwa na Stress.?
Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?
Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?
Ulifanyeje kuondokana nazo?
NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa
Zinapelekea Depression.
nk....
Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)
Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?
Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?
Ulifanyeje kuondokana nazo?
NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa
Zinapelekea Depression.
nk....
Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)