SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,671
- 2,029
Nashangaa watu wanauziwa madawa ya unga mengine hawajui yamechanganywa na nn tena kwa bei gali wakati dawa ya nguvu za kiume ipo kwenye maji yaliyotuzunguka
Sasa niwaambie uume ni kama jicho tu huwa linajisafisha lenyewe halihitaji nguvu nyingi, ukitaka uwe rijali hadi mwanamke aombe poo nenda kwenye mabuncha nunua yule samaki fresh anaitwa sangara na sato wanapima hadi robo kilo
wale samaki ni balaa wako kama viagra sema ukila wale kwa wingi uume wako utasimama kila siku sio kwa masaa 24, chemsha supu weka ndim na pili pili ukiamua hata kula mboga yake tu nguvu za kiume zipo ndani ya hawa samaki
baharini huko napo pweza na jodari nao si haba ila sangara na sato wale samaki kama una ttzo la nguvu za kiume nakushauri kula kwa wingi
Sasa niwaambie uume ni kama jicho tu huwa linajisafisha lenyewe halihitaji nguvu nyingi, ukitaka uwe rijali hadi mwanamke aombe poo nenda kwenye mabuncha nunua yule samaki fresh anaitwa sangara na sato wanapima hadi robo kilo
wale samaki ni balaa wako kama viagra sema ukila wale kwa wingi uume wako utasimama kila siku sio kwa masaa 24, chemsha supu weka ndim na pili pili ukiamua hata kula mboga yake tu nguvu za kiume zipo ndani ya hawa samaki
baharini huko napo pweza na jodari nao si haba ila sangara na sato wale samaki kama una ttzo la nguvu za kiume nakushauri kula kwa wingi