incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
- Thread starter
- #61
Mkuu yaanu kuna jamaa wana hoja zinazodhihilisha kizazi cha wanaume kimeisha,Nakubaliana naww kabisa Mkuuu !!100%.
Yaani mtu anadhiliki kusema kuwa Mwanamke Mtu Mzima huwezi kumtia heshima kwa kumwadhibu akakuheshimu na akakuogopa?
Kwani sheria na adhabu zipo kwa ajili ya watoto?
yaani mwanamke akubatue kofi mbele ya washikaji zako useme ngoja nirudi nikae nae tuzungumze?
Mwanamke akupasulie Simu ulionunua kwa ghalama useme ngoja tuzungumze?
Mwanamke akuchomee nguo et useme ngoja tukazungumze?
Hahaha usiposhangaa ya Musa utayaona ya filauni,
Kwa sababu zipi hadi mtu anifanyie upumbavu wote huo nimwache? Ndo mnaodekezea wanawake huko wanawaharibia vitu na kuwapiga mnawakaushia mwisho wa siku mnaleta hapa maada eti " Mke wangu kanichomea vyeti vya shule na document zote
Yaani ukatae ukubali meanamke huwa anaishi na kutenda kulingana na na ulivyomzoeza Endeleeni kukanywagwa