Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Chukua hamsini zako, Akufukuzae hakwambii toka.
Mtumie laki mbili atakujibuKatika mahusiano kuna wakati mpenzi wako akaamua kukukalia kimya au kukuchunia bila sababu au kwa sababu zake anazozijua yeye akaamua tuu kukaa kimya hakutafuti wala nini?
Unadhani nini suluhisho la tatizo hili. Ikifikia hatua hii hebu tupeane mawazo kuna ndugu yangu kaniomba ushauli
Kuanzia juzi nimeamua hii njia hata mimi maana tatizo liliopo siwez kumwambia ntajidhalilisha
So kiufupi ni njia mojawapo ya kuvunja mahusiano
Yamenikuta hayoo ila nilichojifunzaKatika mahusiano kuna wakati mpenzi wako akaamua kukukalia kimya au kukuchunia bila sababu au kwa sababu zake anazozijua yeye akaamua tuu kukaa kimya hakutafuti wala nini?
Unadhani nini suluhisho la tatizo hili. Ikifikia hatua hii hebu tupeane mawazo kuna ndugu yangu kaniomba ushauli