casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,144
izo ni mba kiongozi,izo unazikwangua na kichanio kama wanavyofanyaga wanawake...
Dawa ya mba ni kupaka mafuta kwenye ngozi ya kichwa. Ahakikishe muda wote kichwa kina mafutaizo ni mba kiongozi,izo unazikwangua na kichanio kama wanavyofanyaga wanawake...
Una mba za kwenye nywele sasa,nenda kwenye maduka ya vipodozi, watakupa mafuta ya kutumia mba ziisheHabari wajuvi,
Nikichana nywele kichwani hua panatoa vumbi nilizani labda ni wingi Wa nywele kichwani hivyo basi nikamua kuachana na ufugaji Wa nywele nyingi na kuanza kutumia aina mabalimbali za mafuta yakiwemo mafuta ya Nazi lakini sijaona mabadiliko yoyote.
kama kuna yeyote anayejua jinsi ya kuondoa tatizo hili msaada tafadhali
Ni kweli kabisa hizo ni mba inabidi kichwa muda wote kiwe na mafuta ngozi ya kichw isibaki kavuDawa ya mba ni kupaka mafuta kwenye ngozi ya kichwa. Ahakikishe muda wote kichwa kina mafuta
Mkuu hauna tena mba au hauonekani ule mpauko wa mba lakini kwenye ngozi na damu wapo?hahaaaa mkuu jaribu hayo movt... binafsi baada ya kuanza kutumia sina tena MBA
Wanasupport bima mimi natumia NHIF. Sina uhakika na nyingine.Mkuu Tpaul hio clinick inasurport bima??
Umepona mkuu??Feedback dawa ya mba kwa limau
Ni week sasa naona kichwani pametulia, asanteni
Cc. MziziMkavu
Zilikata kwa muda, zimerudi ila sio kwa wingi kama awaliUmepona mkuu??