Wandugu habari za kutwa, ninashida ya ugonjwa wa nyonga upande wa mguu wa kulia, jambo ambalo ni la muda wa wiki sasa.
Nimeenda Agakhan Hospital na kupiga x ray ambao imeonyesha kuna hilo tatizo la nyonga.
Dawa nilizopewa basically ni za kutuliza maamivu lakini sijapata nafuu! kama kuna mtu ana fahamu tiba ya tatizo hili basi naomba msaada wake.
Nimeenda Agakhan Hospital na kupiga x ray ambao imeonyesha kuna hilo tatizo la nyonga.
Dawa nilizopewa basically ni za kutuliza maamivu lakini sijapata nafuu! kama kuna mtu ana fahamu tiba ya tatizo hili basi naomba msaada wake.