Dawa ya kupunguza ukubwa wa uume.

Dawa ya kupunguza ukubwa wa uume.

hebu tusaidie sisi tulingane na jamaaa kwanza itakuwa poa
Haitakiwi iwe kubwa sana,ikiwa kubwa sana itakuwa inashindwa kusimama vizuri pia haitakiwi iwe ndogo iwe ya kawaida.
Ikiwa ndogo inawezekana kuongezeka.
 
Jitahid usiwe unaingiza lote na tumia vilainishi tumia kinga maana ya ww ni rahis kupata maambukiz km hujaoa unarukaruka
 
mwili wa mtoto tena lilo 3.5 atangulize kichwa au miguu anapita
wewe unataka kutangaza ujinga hujakua
nenda Leba kashangae
 
Wali bila maharage ni matumizi mabaya ya mchele, wengi wameomba picha nami naungana nao, uzi huu bila picha ni matumizi mabaya ya MB, ukizingatia embii zimepanda bei
 
Wali bila maharage ni matumizi mabaya ya mchele, wengi wameomba picha nami naungana nao, uzi huu bila picha ni matumizi mabaya ya MB, ukizingatia embii zimepanda bei

Hawezi kuweka picha,mara nyingi aliwazalo mjinga ndio litakolomtokea.

Humu JF kuna chai nyingi sana ,utakuta mtu anakuja na hekaya zake hapa ili mradi kufurahisha genge ,kina Mandingo wana 12" na anapiga pipe mademu wa kizungu na linazama lote ,sasa anakuja dogo kashiba ugali wa mzee anatuletea chai kwamba mademu wanakimbia kwa 10" ,sasa sijui kama kweli anajua urefu wa "10 unafanaje.
 
Uke wa mwanamke standard una kina Cha nchi 15.

Sasa wee na icho kibamia chako Cha nchi 10 unashindwaje kuzama?

Acha siasa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uke wa mwanamke standard una kina Cha nchi 15.

Sasa wee na icho kibamia chako Cha nchi 10 unashindwaje kuzama?

Acha siasa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaijua inch 15 wewe?

Inc 15 ni zaidi ya robo mita

Huyo mwanamke ni wa wapi?

Inc 15 ni urefu wa ile rula ndefu ya Kutumia mwanafunzi darasani...

Labda kama unamaanisha CM 15
 
Back
Top Bottom