Watu sita wa familia moja wamenusurika kufa baada ya kunywa dawa inayodaiwa kuongeza ufahamu uko Pemba. Wamelazwa hospitali baada ya kuumwa na kuonekana kuwa ni sumu, imebidi watundukiwe drip. Je mtu mwenye akili timamu inabidi anywe dawa ya kuongeza ufahamu?.
Source: ITV - Hapa na pale saa 12 jioni.
Source: ITV - Hapa na pale saa 12 jioni.