Dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Shamkware

JF-Expert Member
Nov 25, 2013
1,740
2,243
Habari wapendwa...!

Hii ni kwa utafiti wangu tu nilioufanya mwenyewe na hata mimi huwa ni dawa kwangu.

Nazungumzia usafi wa wote wawili hasa mwanamke wakati wa game, inapendeza sana kila baada ya round mnaoga na pia mwanamke avae Chupi yake nzuri na safi isiwe iko oversize kuna wadada wanavaa chupi/skin oversize zimepanuka viuno ukiiona tu unachoka afu ina matobo. Mnaboa sana!



Huwa napata hamu na morali upya nikimuona mtoto wa kike amevaa pichu afu ukute anamzigo mashallaah! Hata kama ni kipotable tu kama ni night dres kawe keupe afu kalaiini kafupi flani tumichilizi nyuma ya goti tunatia hamasa upya, Pafyum nzuuri kwa mbaali hata akiondoka inabaki geto hata siku mbili.

Mimi huwa nakosa hamu kabisa nikimaliza geme mwenzangu anaenda kunawa tu kunako afu anabaki na uvundo wa Shahaw....! Mbaya zaidi havai hata Pichu anabaki tu uchi papuchi inazagaa tu ukigusa tu kidogo hii hapa, noo! Huwa nakosa hamu kabisa ya kuendelea na mpambano.


Hivyo zingatieni usafi wa aina zote sio kulalamika tu eti ooh jamaa anakibamia akipiga kimoja tu hakisimami tena wakati hunivutii,

"NI MAWAZO TU JAMANI"
 
Habari wapendwa...!

Hii ni kwa utafiti wangu tu nilioufanya mwenyewe na hata mimi huwa ni dawa kwangu.

Nazungumzia usafi wa wote wawili hasa mwanamke wakati wa game, inapendeza sana kila baada ya round mnaoga na pia mwanamke avae Chupi yake nzuri na safi isiwe iko oversize kuna wadada wanavaa chupi/skin oversize zimepanuka viuno ukiiona tu unachoka afu ina matobo. Mnaboa sana!



Huwa napata hamu na morali upya nikimuona mtoto wa kike amevaa pichu afu ukute anamzigo mashallaah! Hata kama ni kipotable tu kama ni night dres kawe keupe afu kalaiini kafupi flani tumichilizi nyuma ya goti tunatia hamasa upya, Pafyum nzuuri kwa mbaali hata akiondoka inabaki geto hata siku mbili.

Mimi huwa nakosa hamu kabisa nikimaliza geme mwenzangu anaenda kunawa tu kunako afu anabaki na uvundo wa Shahaw....! Mbaya zaidi havai hata Pichu anabaki tu uchi papuchi inazagaa tu ukigusa tu kidogo hii hapa, noo! Huwa nakosa hamu kabisa ya kuendelea na mpambano.


Hivyo zingatieni usafi wa aina zote sio kulalamika tu eti ooh jamaa anakibamia akipiga kimoja tu hakisimami tena wakati hunivutii,

"NI MAWAZO TU JAMANI"

Haya yote yana mlengwa vp umemfahamisha lakini? maana kwa kupitia jukwaa hili message inaweza isimfikie kabisa bado akaendelea kuvaa za kutoboka
 
..ha ha ha... Nimeishia kucheka tu! Hivi bado wadada wanavaa pichu zenye matobo? Wakati vipo vyupi vya buku, lols
 
Haya yote yana mlengwa vp umemfahamisha lakini? maana kwa kupitia jukwaa hili message inaweza isimfikie kabisa bado akaendelea kuvaa za kutoboka

Hii tamu sana mkuu,hongera kwa hii thread,kilichobaki walengwa wazingatie na kufanyia kazi hayo,
 
Back
Top Bottom