Dawa ya kuondoa msongamano Dar...


Nimesema Posta na Kariakoo
Posta nayo kama ulikuwa hujui iko kwenye Tarafa ya Kariakoo
so wengine tukisema Kariakoo ni tarafa nzima
au CBD yoote....iwe fixed
CBD ni Central business District kuanzia posta mpaka fire mpaka kamata
 
Nimesema Posta na Kariakoo
Posta nayo kama ulikuwa hujui iko kwenye Tarafa ya Kariakoo
so wengine tukisema Kariakoo ni tarafa nzima
au CBD yoote....iwe fixed
CBD ni Central business District kuanzia posta mpaka fire mpaka kamata


hii inaweza kusaidia kidogo.
 
Mtizamo wako ni Mzuri sana lakini ni vigumu kutekelezeka Kama ilivyokuwa vigumu kuhamia Dodoma kumbuka siku ikitokea Muujiza Wakahamia Dodoma basi ujue kila kitu kitawezekana hapa Tz kwani hakuna Jambo gumu hapa Tz Kama kihamia Dodoma .
 
Suruhisho la msongamano Dsm ni kuhamia Dodoma tu wala si vinginevyo
 

Suluhisho pekee ni kuhamia Dodomo tu.
 
sio dar tu mfano miji inayokua kwa kasi kama Arusha na Mwanza,ingekua ndio mifano ya kurekebisha miundo-mbinu ili ikidhi muongezeko wa watu na shughuli mbalimbali kwa kupanua miji sehemu mbalimbali...
sasa nenda uone hii miji inavojengwa ni kichefuchefu yani unajiuliza hivi ndo "wataalamu" kweli hawa?wanafanya kazi gani mana haiitaji degree ya uhandisi wala mipango miji kuona huo ujinga unaofanywa ktk miji hii

mitaro ni kero kubwa sana yani barabara ndogo kuliko mitaro iliyo pembeni yake tena wazi,mji wa Mwanza ni kichekesho!
wakati ni mji ambao tungekuwa tumeupanga ipasavo ni kitovu kizuri sana sana kwa east afrika na maziwa makuu kiuchumi na kijamii

ila kwa serikali hii ya sasa tusahau!!labda kije kizazi kipya kabisa:wave:
 
Kuhusu emission standards, ni kweli Tanzania hakuna utaratibu wa maana, zaidi wa ule wa kuongeza VAT na ushuru kwa magari yenye umri zaidi ya miaka 10.

Nasikia kuanzia mwezi huu umri umekuwa miaka 8?

Sababu itakuwa ni hiyo hiyo aka kupunguza emission?

Halafu ni nani alidesign hii kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…