Dawa ya kuondoa kipara

Dawa ya kuondoa kipara

sonashi

Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
44
Reaction score
10
Naomba ushauri wa kitaalamu ili niweze kupata dawa ya kuondoa kipara na mvi,
 
Najua humu kwenye JF kuna wataalamu wa afya ndiyo maana nimeomba ushauri,
 
Naomba ushauri wa kitaalamu ili niweze kupata dawa ya kuondoa kipara na mvi,
Hapa ni jukwaa la matangazo madogomadogo. Sidhani kama kuna wataalam wengi wa afya wanapita huku kama kule kwenye jukwaa la afya(JF Doctor).
Nenda kule ila jieleze vizuri.
Umekipata kipara na mvi katika umri mdogo au ?
una stress sana?
baba/babu alikuwa na kipara?
na mengineyo
 
Najua humu kwenye JF kuna wataalamu wa afya ndiyo maana nimeomba ushauri,
Humu JF, ukiomba msaada au ushauri wa kiafya, kisheria au kiuchumi ni wachache sana watakujibu na kukupa ushauri wa maana. Wengi humu wamegeuka kuwa Wataalam wa Siasa na mambo ya Mapenzi tu. Ukitaka kuthibitisha hili, post thread ya Siasa/Mapenzi humu na nyingine ya kuomba msaada wa kisheria/kiafya halafu ulinganishe response rate! Ndio maana nikakuambia waulize wahusika ndio wanaweza kukujibu vizuri zaidi kuliko ma-great thinkers wa Siasa na Mapenzi!
 
Wasiliana na wyne Rooney atakusaidia maana haiwezekani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom