Ktimoto ndio kiboko ya majini wengi wabaya katika mwili wa binadamu ,imemsaidia sana binamu yangu ingawa alikuwa muislam lakini alikuwa hana namna maana baada ya kula hajapata tena shida hiyo na amekuwa mlaji kweli kwa sasa kwa sasa yupo sawa.
USIJARIBU kwenda kwa mganga wa kienyeji utapata maroho ya ajabu huko na kuongezewa matatizo usiende tafadhari Yesu ni tiba ya tatizo hilo USIWEKE matuamini kwa mwanadamu maana hata hao hawaijui kesho yao
Ktimoto ndio kiboko ya majini wengi wabaya katika mwili wa binadamu ,imemsaidia sana binamu yangu ingawa alikuwa muislam lakini alikuwa hana namna maana baada ya kula hajapata tena shida hiyo na amekuwa mlaji kweli kwa sasa kwa sasa yupo sawa.