Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Oa mwanamke wa Kirangi
Vyote havitumiki kwangukama unakunywa beer wacha beer inaleta sana kitambi , kunywa pombe kali
jaribu kula maharage sana na mboga za majani , wacha na mchele au chips
Muda wa mazoez ndo shidaOk, vizuri njoo hapa Gomz kwenye viwanja vya mpira vya shule ya Mwangaza upate mazoezi
Ok, kuna vifaa flani hivi ambavyo vinakuwa kama kigodoro na vitairo flani, nenda kwenye maduka ya vifaa vya mazoezi, kanunue vitakusaidia kukata kitambiMuda wa mazoez ndo shida
tupo wengi wahaga wa hili mkuu tuweke wazi dawa hiyo na gomes ndo wap iko mkoa ganOk, vizuri njoo hapa Gomz kwenye viwanja vya mpira vya shule ya Mwangaza upate mazoezi
kama huna nafasi ya kupiga mazoezi kanunue hivyoOk, kuna vifaa flani hivi ambavyo vinakuwa kama kigodoro na vitairo flani, nenda kwenye maduka ya vifaa vya mazoezi, kanunue vitakusaidia kukata kitambi
Gomz ni Gongo la mbototupo wengi wahaga wa hili mkuu tuweke wazi dawa hiyo na gomes ndo wap iko mkoa gan
Sijakuelewa mkuukuwa vegan...
muda mfupi kitaisha...
pia ufunge siku kadhaa kwa kushindia maji yaliyochanganywa na limao.
hujaelewa niniSijakuelewa mkuu
Kama hautumii hivyo. Vipi soda? Vitu vyenye sukari? Vyakula vyenye mafuta?Vyote havitumiki kwangu
Kununua ni hatua moja. Kuvitumia ni hatua nyngnOk, kuna vifaa flani hivi ambavyo vinakuwa kama kigodoro na vitairo flani, nenda kwenye maduka ya vifaa vya mazoezi, kanunue vitakusaidia kukata kitambi
Akishavinunua..??? Aviweke wapi, sebuleni au chumbani..?? Muelezee vizuri mkuukama huna nafasi ya kupiga mazoezi kanunue hivyo
Gomz ni Gongo la mboto
Akishavinunua kuna mazoezi yake, ni simple tu ya kukata tumboAkishavinunua..??? Aviweke wapi, sebuleni au chumbani..?? Muelezee vizuri mkuu
Du,naona humtakii Mema jamaa!Chukua mkopo ununulie daladala mbovu.
Utapungua mpaka kichwa
Ni simpo..???? Are u serious mkuu..?? Au umeamua kumdanganya jamaa. Zoezi la kitambi ni shida aisee. Sema kwamba KUKIPATA NDIO SIMPO, kama kumeza mate vile. Ila kukitoa ni hatari. You must sacrifice urself...'!!Akishavinunua kuna mazoezi yake, ni simple tu ya kukata tumbo
Niliwahi kumuuliza huko juu kama ana moyo, kwani mazoezi ya kukata kitambi ni simple lakini uwe na moyo wa kuyafanya. Kwa kupitia hicho kigodoro na vitairi mazoezi yake ni simple kama mchezo tu, but inahitaji moyo.Ni simpo..???? Are u serious mkuu..?? Au umeamua kumdanganya jamaa. Zoezi la kitambi ni shida aisee. Sema kwamba KUKIPATA NDIO SIMPO, kama kumeza mate vile. Ila kukitoa ni hatari. You must sacrifice urself...'!!
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
duh kumbe huko dunia ya pili mkuu haya mkuukama huna nafasi ya kupiga mazoezi kanunue hivyo
Gomz ni Gongo la mboto