dawa ya jeuri ni kiburi

dawa ya jeuri ni kiburi

VAN HEIST

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
1,434
Reaction score
617
Gari imeondoka KARIAKOO kufika MANZESE
konda akauliza kuna mtu anashuka?
Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna
mitandio tu."
kufika mbele..
abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO
MAZIWA. Akasema;
"Konda nashuka maziwa."
Konda akamjibu;
"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."
 
Gari imeondoka KARIAKOO kufika MANZESE
konda akauliza kuna mtu anashuka?
Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna
mitandio tu."
kufika mbele..
abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO
MAZIWA. Akasema;
"Konda nashuka maziwa."
Konda akamjibu;
"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."

Mbavu zangu jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yaa
 
Hayo majibu ni staili ya mzee Robert Mugabe.
 
Gari imeondoka KARIAKOO kufika MANZESE
konda akauliza kuna mtu anashuka?
Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna
mitandio tu."
kufika mbele..
abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO
MAZIWA. Akasema;
"Konda nashuka maziwa."
Konda akamjibu;
"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."

.hahahahaha
.hoi bn taaban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom