VAN HEIST
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,434
- 617
Gari imeondoka KARIAKOO kufika MANZESE
konda akauliza kuna mtu anashuka?
Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna
mitandio tu."
kufika mbele..
abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO
MAZIWA. Akasema;
"Konda nashuka maziwa."
Konda akamjibu;
"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."
konda akauliza kuna mtu anashuka?
Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna
mitandio tu."
kufika mbele..
abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO
MAZIWA. Akasema;
"Konda nashuka maziwa."
Konda akamjibu;
"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."