Dawa ya hormone imbalance

mimi nasumbuliwa nalo na mimba nabeba ila uchungu sipati mpaka kipind cha mwisho wa mimba nakua karib na docta nifanyiwa opareshen I'll tatizo lilipelekea nikapoteza mtoto nasubir kujifungua uchungu amna pigwa drip 4za uchungu wapi miez inapita kuja

kupasuliwa mtoto kuona mwanga tu akafarik napata vikwazo ving sam taim siingii bliid sam taim inakuja na mda mwingine inakua nyingi balaa hapo nabid nikanywe dawa za homon balance kupunguza na mpaka inakata pole mwenzang

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MTAFUTE PROFESA MAJINGE ANAPATIKANA HOSPITALI YA DCMC DODOMA KWA UWEZO WA MUNGU TATIZO LITAKWISHA NA ATAPATA ZAIDI YA HUYO 1 MKUU.
 
Mimi siyo daktari, lakini nina ushuhuda wa tatizo hilo. Fanya hivi.
Atumie vidonge vya majira. Mfululizo kwa miezi mitatu tatizo litakwisha. Siku zake zitarejea.
Kuna mwanamke alitumia hivyo vidonge vya majira ya uzazi alikuw ana hilo tatizo la Hormone Imbalance tatizo lake likaondoka kwa muda.Baada ya muda limerudi hivi sasa mimi ndio ninaye mtibu kuzirekebisha hizo Hormone Imbalance. Hakuna Dawa ya kutibu hayo matatizo ya Hormone Imbalance Ma-hospitalini hakuna dawa. Dawa za Asili za kurekebisha Hormone Imbalance zipo.

 
Haya DAWA NI MAJANI YA MLONGE MABICHI PIKA KAMA MBOGA ULE KWA SIKU 3 UIKISHINDWA TUMIA JUIS YAKE KIGANJA CHA MAJANI CHANGANYA NA MAJI YA KAWAIDA LITA 1 SAGA CHUJA TUMIA VIJIKO VI 3 VYA CHAKULA KUTWA MARA 1.INAAYOBAKI MWAGA KESHO TENGENEZA NYINGINE KWA KIPIMO HICHO HICHO FANFA HIVYO KWA SIKU 3 MFULULIZO
 
Tatizo la hormone imbalance kwa mwanaume inakuaje mkuu ?
 
Kuna hiki kinywaji cha Morizella juice wanasema nayo inasaidia kwenye hormone imbalance.
 
Mlonge ni suluhisho la tatizo la mkeo.(Nina ushuhuda wa kutosha) Ukihitaji ni pm nikupe mlonge na maelekezo ya matumizi.
Mkuu nataka kuwasiliana nawe Pm umezuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…