Hata mimi niliwahi kuwa na matatizo ya gesi na kiungulia.Dr aliniambia sababu ni pombe!Nilifanyiwa vipimo vingi kabla ya dawa! Nakushauri pia usianze kutumia madawa kabla hujaonana na daktari mtaalamu wa tumbo!ili ajue ukubwa wa tatizo lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.