Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 23
wakati najia andaa kutupia hoja jiulize yafuatayo...
Ina kua aje? wanafunzi waliopata alama za chini za ufaulu ndio wachaguliwe kwenda kusoma uwalimu..??.
wanafunzi walio maliza kidato cha nne wengi wao bado ni vijana- watoto..!! kwanini serikari isitoe nafasi ya kurudia kwa hiari wanafunzi walio shindwa kufaulu vizuri mitiani yao ya kidato cha nne?
kilimo kitafanikiwa bila elimu?
je serikari inajua idadi kubwa ya watu wake ni watoto?
Ina kua aje? wanafunzi waliopata alama za chini za ufaulu ndio wachaguliwe kwenda kusoma uwalimu..??.
wanafunzi walio maliza kidato cha nne wengi wao bado ni vijana- watoto..!! kwanini serikari isitoe nafasi ya kurudia kwa hiari wanafunzi walio shindwa kufaulu vizuri mitiani yao ya kidato cha nne?
kilimo kitafanikiwa bila elimu?
je serikari inajua idadi kubwa ya watu wake ni watoto?