wadau hapa mtaani kwetu kuna mganga wa kienyeji kutoka simbawanga anadai anarudisha bikra wa madada wote walio poteza
et kweli wadau inawezekana??????/
au anataka kuwatapeli pesa zao
Kama ilishatolewa unadhani itarudije,kupitia huo upupu wa mganga.Achana nae anapotosha wakina dada mwishowe wataumbuliwa na jamaa zao bure.Niuongo hapo mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.