Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 8,388
- 11,879
Wangu alikuwa na msemo ukiibiwa na weweYaani watu mnakutana bar mnauziana hayo majani ya porini unaanza kulalama humu na post ndeefu.
Ukitapeliwa kausha ndo mwanzo wa kujanjaruka.
Inategemea na bidhaa..siwezi nunua kwa machinga dawa ya aina yoyote ile hasa ya kunywa ..never.Wewe hujawahi kununua kitu bar!!? Au umetaka kuonekana unatoa povu tu!!!?
pole sana bwana mdogo, tukiwaambia njoo mwonane na madaktari kwenye ofisi za hadhi nyie mnakutana na watu bar pole kwa kweli, kama una shida genuine tuwasiliane naweza kukutanisha na medical doctor atakupa ushauri na suluhisho la kudumu.Dawa yenye picha hapa chini kama inavyojieleza ni dawa Magumashi kabisa, inavyoelekea imewekwa tu majani ya makavu ya kunde au majani ya maharage kisha kuwekwa kwenye karatasi ya rangi na kuuzwa kama dawa ya kutibu maradhi yalioandikwa katika hiyo karatasi. Dawa hii nimeinunua Dodoma kwa binti mmoja anajiita Subira kwa maelezo yake anasema anaishi maeneo ya Makole lakini siku alipokuwa akiuza alinikuta maeneo ya ChakoniChako Bar, kwa kweli kanilamba takribani 45,000/= kwa paketi moja na niliwachukulia na wenzangu 2 kwa maana ya jumla ya paketi 3 na maelekezo ni kwamba dozi yake ni siku 3 kwa maana ya kijiko cha chai 1x1 kwa siku 3 tu kwa kunywea ktk kinywaji chochote, na matokeo yake yataanza kuonekana Massa 2 na kuendelea tangu kuanza kutumika. Cha ajabu na kusikitisha tangu tumeitumia zimepita siku 6 hakuna matokeo yoyote chanya zaidi tumetapeliwa na huyo Dada Subira akipigiwa simu japo atoe ufafanuzi tangu alipoelezwa tatizo hapokei simu na wala hajibu meseji jambo linaloashiria anafanya utapeli wa kukusanya hela za watu kwa kuuza dawa fake na huenda ikichunguzwa kiundani inaweza kuwa na madhara makubwa kwa matumizi ya binadamu. Chonde wenye tatizo kama langu chukueni tahadhali na dawa hiyo hususani na huyo Binti muuzajiView attachment 864987View attachment 864988
Ok, Ili tukushauri tuambie matokeo ulotarajia baada ya kunywa hiyo dawa.Nina shida mkuu Ila nimetapiliwa na kibaya zaidi kumbuka nimesema dawa hii niliwanunulia na wenzangu 2 wenye tatizo kama langu, matokeo yake wote haijatusadia kitu chochote ukilinganisha na kiki za muuzaji kuwa inaanza kufanyakazi w.e.f ndani ya Massa 2 tangu kuanza kutumika. Sasa zimepita siku 6 wakati dozi yake ni siku 3 ngoma bilabila
We we utakuwa Mwalimu!!! Unazumzia kunywa balimi??!!!!Inategemea na bidhaa..siwezi nunua kwa machinga dawa ya aina yoyote ile hasa ya kunywa ..never.
Pengine ulishakuwa umelewa balimi ukalitamani limalaya hapo baa ukaona ununue ukaikomoe k.
Mtakuja kufa juu ya papuchi
Rafiki naona umetoa hoja na kuijibu mwenywewe." Huwakubali waganga wa miti shamba, bado hukatai kuwa wapo waganga wa mitishamba wazuri" any way siyo mbaya umechangia hojaIla me naomba kuuliza....., hivi mnapokuwa mnatumia dawa kutoka kwa hawa madokta wa elimu mtaani dotcom huwa mnatarajia nini?!
Most of hawa watu huwa si trained specialists kwa maana kukijua wanachofanya.....
Sikatai wapo traditional specialist ambao wanaielewa vema mitishamba na hata akikupatia dawa inakuwa inafanya kazi vema....
So nashauri wajameni, kuweni na background record ya hawa tunaowaita ni madokta wa dawa za kienyeji.....
I concur with u japo mie sio bwana mdogo. Nitakupataje ndgpole sana bwana mdogo, tukiwaambia njoo mwonane na madaktari kwenye ofisi za hadhi nyie mnakutana na watu bar pole kwa kweli, kama una shida genuine tuwasiliane naweza kukutanisha na medical doctor atakupa ushauri na suluhisho la kudumu.
Mkuu kama una shida hiyo tuwasiliane mkuu mimi niko Sumbawanga nitakutumia ya kutest bure ila uwe na mwamamke zaidi ya mmoja ama sivyo ukiuwa mimi sihusiki mkuuHata yeye alisema inatoka Congo Mkuu!!!
Dah pole sana kaka.Mpaka kutapeliwa hiyo maana yake nina shida, sijasimamisha miaka 2_sasa
Sasa wewe ulitaka baada ya kunywa dawa mbooga isimame kisha umwage kwani hiyo dawa ndo ****liza? Au ulishaandaa demu wa majaribio au ndo kusema kama hiyo Mbooga ingesimama ndo ungeshtua na chaputa?Kusimamisha mb*** na kukoj*** lakini haikuwa hivyo