Pole, mkuu ..una maanisha alipata choo kisha ikaacha?
- Ananyonya kiasi cha kutosha?
- Tofauti nakukosa choo mtoto, tumbo la mtoto likoje, anacheua sana /kutapika?..tumbo limeongezeka ukubwa?
-Vipi katika haja ndogo, anapata?
-Ana homa?..
Mkuu kwanini usifike HOSPITALI mapema?
Wadau nina mtoto mchanga wa siku kumi, anasumbuliwa sana na kukosa choo ana siku ya 4 hajakipata tumempa glucose siku 2 bado hajapata, kama kuna mwenye ufahamu chanzo ni nini tafadhali tujuzane na ipi tiba nzuri kwake. Nitashukuru