ouagadougou
Member
- Sep 12, 2012
- 5
- 1
Nimesoma na David Ernest Silinde mbunge wa mbozi magharibi na mdogo wangu ki-umri
Hivi majuzi nimezungumza na mwananchi mmoja na akanieleza yafuatayo kuhusu Silinde.
1. Hahudhurii vikao vingi vya halmashauri ya wilaya
2. hahudhurii/amehudhuria kikao kimoja tu cha baraza la mamlaka ya mji mdogo wa Tunduma (kwa mujibu wa
maelezo ya mdau huyu Tunduma ni mji wa muhimu sana katika siasa za jimbo la Mbozi Magharibi na alipata
kura nyingi sana zilizomwezesha kushinda jimbo hilo.
3. Aliahidi kuwa na makazi yake Tunduma, jambo ambalo haliko hivyo mpaka sasa na haonyeshi mpango wowote.
4. Si mwepesi wa kurudi jimboni kama alivyo mwepesi wa kwenda nje ya nchi hivi sasa.
5. Hajaanza kuchimba visima vya maji kama alivyoahidi.
na mengineyo mengi ambayo nisingependa kukuchosha kusoma.
kwa haya na mengine kadhaa najiuliza Je mdogo wangu huyu ana mpango wa kuendelea na ubunge katika siku zijazo? Je CHADEMA wanalitambua hili?
Hivi majuzi nimezungumza na mwananchi mmoja na akanieleza yafuatayo kuhusu Silinde.
1. Hahudhurii vikao vingi vya halmashauri ya wilaya
2. hahudhurii/amehudhuria kikao kimoja tu cha baraza la mamlaka ya mji mdogo wa Tunduma (kwa mujibu wa
maelezo ya mdau huyu Tunduma ni mji wa muhimu sana katika siasa za jimbo la Mbozi Magharibi na alipata
kura nyingi sana zilizomwezesha kushinda jimbo hilo.
3. Aliahidi kuwa na makazi yake Tunduma, jambo ambalo haliko hivyo mpaka sasa na haonyeshi mpango wowote.
4. Si mwepesi wa kurudi jimboni kama alivyo mwepesi wa kwenda nje ya nchi hivi sasa.
5. Hajaanza kuchimba visima vya maji kama alivyoahidi.
na mengineyo mengi ambayo nisingependa kukuchosha kusoma.
kwa haya na mengine kadhaa najiuliza Je mdogo wangu huyu ana mpango wa kuendelea na ubunge katika siku zijazo? Je CHADEMA wanalitambua hili?