tunagombea sana remote wife ana angalia channel zake dstv sisi wengne tunataka siasa. je hakuna radio inayorusha hicho kipindi?
Dr.Slaa alishasema sana.mchagueni muoneMeremeta vipi? Huo wizimbona hauongelewi? Au mheshimiwa mkapa anaogopwa?
Kafulila ameivua serikali ya CCM nguo na kuiacha uchi wa mnyama, ni aibu kubwa kwa serikali hii, watanzania tujifunze kukinai, ccm wanatupeleka kubaya, tusipochukua hatua tutakufa maskini na kwa mungu tutaadhibiwa kwa kukubali kudhulumiwa na kakikundi ka wahuni wachache
Kwa nini watanzania hawaoni haya madudu ya ccm tuwaondoe haraka sana.
Mabati feki ni tani 100,000 ila yalioharibiwa ni tan 15 tu.Kijana is very bright, though amekiri wenye dola wakiamua kumpoteza hakuna wa kuzuia, dah nilitamani kipindi kisiishe kwani nilikuwa silijui hili la mabati fake zaidi ya tani 15 yaliyoingizwa nchini na vigogo, sakata la mabehewa fake ambalo lilipelekea waziri wa uchukuzi kubadilishwa though kaingia waziri mpya mabehewa mengine fake yameingia kwa mara nyingine.
Nilichopenda zaidi ni kwenye conclusion kwamba kwa sasa CCM haikubaliki msikitini wala makanisani, hivyo UKAWA wana kila sababu ya kuchukua nchi sasa wakishindwa basi itawachukua miaka mingi sana kuwabwaga hawa jamaa.
Kijana is very bright, though amekiri wenye dola wakiamua kumpoteza hakuna wa kuzuia, dah nilitamani kipindi kisiishe kwani nilikuwa silijui hili la mabati fake zaidi ya tani 15 yaliyoingizwa nchini na vigogo, sakata la mabehewa fake ambalo lilipelekea waziri wa uchukuzi kubadilishwa though kaingia waziri mpya mabehewa mengine fake yameingia kwa mara nyingine.
Nilichopenda zaidi ni kwenye conclusion kwamba kwa sasa CCM haikubaliki msikitini wala makanisani, hivyo UKAWA wana kila sababu ya kuchukua nchi sasa wakishindwa basi itawachukua miaka mingi sana kuwabwaga hawa jamaa.