usilie warioba watanganyika tupo nyuma yako hata watoto sasa wanakutukana, lakini tanganyika inarudi , walikaa na wewe kwenye maoni wakasema serikali tatu labda walikuwa na ulevi sasa umewatoka wanakana walicho sema, nadhani kosa lako ni kuwakumbusha walicho sema kwenye maoni, honera kafulira kwa kwa kuwakumbusha kuwa 601 sio wengi kuzidi 18,000 wakikumbushwa wataamka na kuelewa,