kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,312
Sawa ila mwambie Zitto afuate taratibu za chama ktk kugombea uongozi,kupitisha vikaratasi chini kwa chini kabla ya mchakato huo ni dhambi!lazima uelewe kama huna ndoa kufanya tendo lile ni dhambi kubwa,ila kama una ndoa halali unakua unatimiza ibada.Pia jiulize Dr.Kitila mzima hakujiona yeye anafaa kuwa mwenyekiti mpaka anampigia debe Zitto kiasi kile huku zitto anajifanya hautambui waraka hajauona!pia bado wanakataa kumtaja M2, hawa watu kweli wana akili timamu au ni robot wanatumwa tuu?
Hakuna ambaye ajaanza mikakati Si Mbowe wala Zitto... Wote wanamikakati yao... Tofauti iliyopo Mbowe Mwenyekiti wa Chama, Zitto mwanachama wa kawaida. Waraka ulikuwa wa siri umesambazwa na Team Mbowe... Aliyeusambaza kakitia chama kwenye msuguano.