David Kafulila: Biashara ya Tanzania Kimataifa yaongezeka Kwa 84%

David Kafulila: Biashara ya Tanzania Kimataifa yaongezeka Kwa 84%

Mtanzania Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2024
Posts
375
Reaction score
378
==
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 na kufafanua kuwa biashara ya kuuza na kununua nje imekuwa Kwa zaidi ya 84% Kwa mujibu wa taarifa za benki kuu ya Tanzania BOT Kwa kipindi hiki k cha mika minne (4)

Tukitathimini Utawala wa miaka hii minne wa Rais Samia Suluhu Hassan Kafulila anasema namnukuu "kubwa kabisa kwenye biashara ni kuchangamka na kuongezeka kwa biashara ya kuuza na kununua nje"

Vile vile Mkurugenzi huyo amenukuliwa na chombo hicho akisema kuwa wakati Rais Samia anaingia madarakani biashara ya kuuza na kununua nje ilikuwa na thamani ya dola za kimarekani bilioni 17 ($17bn) au Shilingi trillion 42 wakati leo thamani ya biashara hiyo hiyo ya kuuza na kununua nje huduma na bidhaa imefikia dola za kimarekani bilioni 32 ($32bn) au Shilingi trillion 80 sawa na ongezeko la 84% karibu mara mbili,

Mkurugenzi David Kafulila anasema ongezeko hilo la biashara ya kuuza na kununua nje tayari limetengeneza ajira nyingi, fedha za kigeni pamoja na kukuza vipato vya Mtanzania mmoja mmoja kwenye mnyonyororo mzima wa ukuzaji wa thamani ya bidhaa zetu pamoja na biashara ya nje,

==

David Kafulila anasema biashara ya Tanzania duniani ya kuuza na kununua nje bidhaa na huduma inakua kwa Kasi sana Watanzania tuchangamkie fursa wakati ni huu wa Mama Samia.​

==



===
 
View attachment 3354322

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi Cha DK 45 amefafanua kuwa biashara ya kuuza na kununua nje imekuwa Kwa zaidi ya 84% Kwa mujibu wa banki kuu BOT Kwa kipindi hiki kifupi kabisa cha mika minne (4)

Chini ya Utawala wa miaka hii minne ya Rais Samia Kafulila anasema "kubwa kabisa kwenye biashara ni kuchangamka na kuongezeka Kwa Kasi Kwa biashara ya kuuza na kununua nje"

Mkurugenzi huyo amenukuliwa na chombo hicho akisema kuwa wakati Rais Samia anaingia madarakani biashara ya kuuza na kununua nje ilikuwa na thamani ya dola za kimatekani bilioni 17 ($17bn) au Shilingi trillion 42 wakati Leo thamani ya biashara hiyo hiyo ya kuuza na kununua nje huduma na bidhaa imefikia dola za kimarekani bilioni 32 ($32bn) au Shilingi trillion 80 sawa na ongezeko la 84% karibu mara mbili,

Mkurugenzi David Kafulila anasema ongezeko hilo la biashara ya kuuza na kununua nje tayari limetengeneza ajira, Fedha za kigeni pamoja na kukuza vipato vya Mtanzania mmoja mmoja katika mnyonyororo huu wa ukuzaji wa thamani ya bidhaa zetu na biashara nje,



===
Usipopata pesa wakati wa mama hupati milele
 
View attachment 3354322

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi Cha DK 45 amefafanua kuwa biashara ya kuuza na kununua nje imekuwa Kwa zaidi ya 84% Kwa mujibu wa banki kuu BOT Kwa kipindi hiki kifupi kabisa cha mika minne (4)

Chini ya Utawala wa miaka hii minne ya Rais Samia Kafulila anasema "kubwa kabisa kwenye biashara ni kuchangamka na kuongezeka Kwa Kasi Kwa biashara ya kuuza na kununua nje"

Mkurugenzi huyo amenukuliwa na chombo hicho akisema kuwa wakati Rais Samia anaingia madarakani biashara ya kuuza na kununua nje ilikuwa na thamani ya dola za kimatekani bilioni 17 ($17bn) au Shilingi trillion 42 wakati Leo thamani ya biashara hiyo hiyo ya kuuza na kununua nje huduma na bidhaa imefikia dola za kimarekani bilioni 32 ($32bn) au Shilingi trillion 80 sawa na ongezeko la 84% karibu mara mbili,

Mkurugenzi David Kafulila anasema ongezeko hilo la biashara ya kuuza na kununua nje tayari limetengeneza ajira, Fedha za kigeni pamoja na kukuza vipato vya Mtanzania mmoja mmoja katika mnyonyororo huu wa ukuzaji wa thamani ya bidhaa zetu na biashara nje,



===
Usipopata pesa wakati wa mama hupati milele
 
Hio ina translate vipi kwa mbangaizaji wa Kitaa ?!!! Haya mambo ya kushusha manamba yasiyoeleweka nilishasema kitamba kwa kumwambia huyu huyu baada ya kuleta story za hata Ulaya sijui USA wanafanya....

 
Hio ina translate vipi kwa mbangaizaji wa Kitaa ?!!! Haya mambo ya kushusha manamba yasiyoeleweka nilishasema kitamba kwa kumwambia huyu huyu baada ya kuleta story za hata Ulaya sijui USA wanafanya....

Mkuu Huwa naheshimu sana michango yako unadhani angeandikaje?
 
Mkuu Huwa naheshimu sana michango yako unadhani angeandikaje?
Ndio maana nimesema statistics are like Bikinis... (what they reveal is suggestive and what they conceal is vital)

1748951379704.png
Unaweza kucheza na namba zikaonyesha picha yoyote unayotaka wewe ili iwe kama evidence ya unachofanya kwamba ni kizuri..., lakini namba muhimu na namba ya maana zaidi ni je hicho kinachofanyika kinampunguzia vipi au kumnufaisha mdau wa kitaa (Sababu hiki ndio kiwe Kipaumbele)

Sasa hata wewe sababu ni mwanakitaa au upo kitaani je unaona mambo yanakuwa mazuri siku baada ya siku au yanakwenda ndivyo sivyo ? Iwapo tunaambiwa uchumi unapaa, watalii wanaongezeka na mambo yanakwenda vema kabisa je ni kweli mambo yanakwenda vema ? Na sio kwamba hawa watu hawajui kama wangejua na wangekuwa kweli wanataka kumsaidia mbangaizaji wangeweza kufanya haya hapa chini jambo ambalo lingeinua maisha ya huyu mbangaizaji...


Case in Point hayo tunayohangaika kuyauza nje wakati tunanunua nje Gesi ya Kupikia (LPG) wakati tungeweza kutumia umeme ambao upo na kuushusha bei huoni kwamba tungempunguzia huyu mbangaizaji matumizi na kodi zake kutumika kwenda ughaibuni
 
Mkuu Huwa naheshimu sana michango yako unadhani angeandikaje?
Huyu jamaa kila siku ni kusifia, hajatoka ha siku moja kwenye Television na kuelezea changamoto za watanzania katika viwanda na masoko
 
Baboon naye kazi kujiweka kimbelembele....
Mwishowe Gerson msigwa amekosa cha kuhabarisha....anatangiziwa potepote...
Kwanza hajainuka kuisemea serikali, tayari chawa fulani kamuwahi....
 
Back
Top Bottom