Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,692
Amshauri Na mkewe ajitoe CDM
Amshauri mkewe ajitoe CDMMke wake itakuwaje si nasikia yupo viti maalumu chadema
kasuku mwingine kutoka kwenye chama cha manunuziSiku ya Mbowe kuachia uenyekiti wa kudumu ndipo upinzani sahihi utapatikana
Acheni kujipotosha vitu vingine muwe mnajiongeza mpeni Lissu uenyekiti au Lema haiwezekani Mbowe tu na siku Lissu au Lema watakapojitoa chadema utakuwa ndio mwisho wake
Chadema ya sasa sio Ile ya 2009
Chadema ya wakati huo ilikuwa inaibua vipaji vingi tu na sio hii ya leo inayotegemea watu watoke ccm waje cdm
kafulila ana msaada gani? kafanya kitu gani mpaka sasa kama siyo kakosa nafasi sasa anaitafuta kwa nguvu?Kwa kweli hizi sio habari nzuri
alitoka Chadema akaenda NCCR akarudi Chadema na sasa anasema anakwenda CCMKwani jamaa alishatoka NCCR-MAGEUZI na kujiunga na CHADEMA?
Hii tulikuwa tunaijua mkuu.Kwa tuliomsikiliza na kumuelewa Lema juzi wala hata hatushangai,
Godbless Lema: Bado wavulana wawili ambao ni Mameya wataondoka na kijana mmoja, tubaki wanaume
View attachment 635635